Sunday, May 3, 2015

Pambano la Manny Pacquiao vs Floyd Mayweather

Je, uliuangalia mpambano kati ya Floyd Mayweather na Mannyy Pacquiao? Jambo moja lisilo shaka ni kwamba dunia imegawanyika kuhusu ni nani hasa alistahili ushindi! Wakati kuna wale wanaoamini Floyd Mayweather ameshinda kihalali kabisa, kuna wengine wengi tu wanaoamini kwamba ushindi ulistahili kwenda kwa Manny Pacquiao.

Majaji waliokuwa na wajibu wa kutenda haki walikuwa watatu. Miongoni mwa hao, jaji mmoja alimpa Floyd Mayweather ushindi wa points 118 dhidi ya 110 za Manny Pacquiao wakati majaji kila mmoja alimpa Floyd Mayweather points 116 dhidi ya 112 za Pacquiao.

Je, kwa maoni yako wewe, ni nani alistahili ushindi? Ikiwa hujaangalia pambano hili, basi gonga hapa uangalie mwanzo mpaka mwisho!
sss
Fuatilia pambano hilo kuanzia sekunde ya kwanza hadi ya mwisho.


Hiyo ndo hali halisi

Tuesday, April 28, 2015

Welcome Note

Welcome dear world wide internet users. This blog means to serve your needs and dream to work at home, either as a part time or full time. There're a lots of opportunities outta there, the challenge is to find the legit one. I, as one of the online freelancer, will take my time to search for legit work at home opportunities and/or websites offering those opportunities for you.



In addition, it means to help aspiring screen writers and others in the film industry to have open platform where users will share their ideas and thoughts which will eventually make them attain their long term dreams.



Ujumbe wa Kukukaribisha

Karibuni watumiaji wa internet kutoka sehemu mbalimbali duniani. Lengo kuu la blog hii ni kukamilisha ndoto zako za kufanya kazi za kwenye mtandao ukiwa nyumbani kwako; kazi hizi zikiwa kama za muda (part-time) au za kudumu (full-time). Zipo fursa nyingi mitandaoni lakini changamoto iliyopo ni kupata zile ambazo ni za kweli na zisizo za kitapeli. Mimi binafsi, nikiwa ni miongoni mwa watu wanaofanya kazi za kwenye mtandao, nitatumia muda wangu kutafuta kazi za mtandaoni na/ama tovuti zina zinazotangaza kazi hizo na kuweka kila kitu kwenye mtandao huu kwa ajili yako.

Kwa nyongeza, blog hii pia ina lengo la kusaidia na kuibua mijadala na tafakuri miongoni mwa waandishi wa miswada ya filamu na wadau wengine tasnia hiyo ili hatimae waweze kufikia ndoto zao za muda mrefu.