Majaji waliokuwa na wajibu wa kutenda haki walikuwa watatu. Miongoni mwa hao, jaji mmoja alimpa Floyd Mayweather ushindi wa points 118 dhidi ya 110 za Manny Pacquiao wakati majaji kila mmoja alimpa Floyd Mayweather points 116 dhidi ya 112 za Pacquiao.
Je, kwa maoni yako wewe, ni nani alistahili ushindi? Ikiwa hujaangalia pambano hili, basi gonga hapa uangalie mwanzo mpaka mwisho!
sss
Fuatilia pambano hilo kuanzia sekunde ya kwanza hadi ya mwisho.
Hiyo ndo hali halisi
No comments:
Post a Comment